iqna

IQNA

jamhuri ya afrika ya kati
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulio liliofanya na wapiganaji wasiojulikana waliokuwa na silaha karibu na mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) na kuua na kujeruhi akari wa vikosi vya ulinzi na usalama vya nchi hiyo wakiwemo pia walinda amani wa Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3473556    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/14

TEHRAN (IQNA) – Waislamu wasiopungua 40wameuawa katika mapigano yaliyojiri hivi karibuni huko Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Habari ID: 3472315    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/30

TEHRAN (IQNA)- Waislamu 7 wameuawa na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa katika hujuma dhidi yao mjini Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Habari ID: 3471263    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/14

TEHRAN (IQNA)-Magaidi wa Kikristo wa kundi la anti-Balaka wameua Waislamu 25 ndani ya msikiti katika mji wa Kembe kusini mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Habari ID: 3471216    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/14

TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya Waislamu 6,000 wameuawa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati tokea mwaka 2013 lakini jamii ya kimataifa imenyamazia kimya jinai hiyo na kuonyesha kutojali.
Habari ID: 3471103    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/04